Ukumbukwe kwa mra ya kwanza jiwe aliposema kua eti katika utawala wake hataki kusikia habari za uzazi wa mpango,alikua dar es salaam.harakaharaka ajitoa kifua mbele waziri wa afya na kufafanua kua jiwe hakumanisha alicho sema bali ulikua ni utani kwa wazalamo.
Je?,hiki alichorudia jiwe kusema juu ya uzazi wa mpango akiwa huko usukumani ni utani kwa kabila gani.