Kwa upeo wangu hawa Sumatra wanakula kodi zetu tu na wao ndio wazibiti wa usafiri ,sasa adhabu aliyopata migulu nataka na mkurugenzi wa Sumatra nae awe Next
Japo alitaja sababu za kumtumbua Mwigulu ila kuna ipo sababu maalum iliyomfanya amtoe.
Ip hiyo? Embu dadavua
uneona eee, anatutajia sababu za kishamba anafikiri sisi watoto wadogo
Kwa nini aliyetumbuliwa na Mwigulu karudishwa kazini na kuongezewa ulinzi mkubwa…
Ndio hivyo bana anadhani hatuwezi kujua
unajua sometime anatufananishaga na wale wa kwao (chartle vileji)
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:Dmbavu zangu:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
cheko lako hilo
Teh! Eti sababu za kishamba.
You are right mkuu, kuna vichwa vilikua vinatakiwa miongoni mwao ni huyo waziri na hao makamanda mengine ni mbwembwe tu
La kimakinikia hasaaa
Ngoja tuone…
Cc: @Mahondaw