Yesterday was a one fucked up day. Nilikuwa siko bizy sana na hii zuku ilikuwa na ujinga sana so i decided kwenda an early lunch with a friend, before katumbukiza kaive tukanza kunywa ka Gilbey’s. Sema kulewa sema kupigia ma EX kaa wote. Sema matusi nimeforwadiwa hizo TXT hadi saa hii siamini kutoka leo Gilbey’s na mimi tumedivorce. Kwanza Wanjiru nilisumbua sana. And @ spax pia pole.[ATTACH=full]23824[/ATTACH]
happens, I once groped the head of finance, a female 35+ year old single lady in our end of year bash while high as a kite. I felt like quitting the next day
Hehe pole sana kuna siku nilikunywa nikiwa nanyuki halafu nikakula vitu siwezi andika jina hapa nikagather enough courage kwenda kugonga mlango ya matha fulani kwa ploti …nikamskiza na kumshow turudi kwangu saa hizo niko na zile boxers za kulala …alinidismiss politely lets just say nilihama end month na nikatime wakati hakua
That is why I learnt the habit of laughing or silence when high. First people do not take you seriously or they will take you too seriously to want a chat.
:D:D.mimi kuna siku nilitoka rave asubuhi tukiwa na ma boyz…ati kufika mtaani asubuhi nikaanza kukimbisha ducks ,all this i was told months later to my surprise.autopilot apana mcheso