Yussuf Poulsen wa klabu ya RB Leipzig ya Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga)ni mtu wa kwanza wa asili ya Tanzania kufunga bao fainali za Kombe la dunia.
Baba: Tanga, Tanzania
Mama: Denmark
[ATTACH=full]176708[/ATTACH][ATTACH=full]176709[/ATTACH]
Yussuf Poulsen wa klabu ya RB Leipzig ya Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga)ni mtu wa kwanza wa asili ya Tanzania kufunga bao fainali za Kombe la dunia.
Baba: Tanga, Tanzania
Mama: Denmark
[ATTACH=full]176708[/ATTACH][ATTACH=full]176709[/ATTACH]
he he he…hata kama hatuko, tuko!
Kabisa. Nakumbuka 2014 nikimshabikia Origi alipofungia Ubelgiji
Lazima tulazimishe.
Mungu hakunyimi kila kitu.
Hata Jakuon alisema Obeezy ni mtu yao .
Hongera sana Tanzania
Wanaume tukipata nafasi tugegede ili kuzaa nje maana ndo naona inatutoa kimaso maso
Hiki kiswahili hakuna Mkenya anaweza kujua umeandika nini
ngombe wadhani hatukusoma lugha ya kiswahili?
kugegeda ni nini?
Papuch unaijua
Dushe je? pusi wewe
We kama hujui ni wewe tu. Zengulika pekeyako wenzako hakuna kitu hatuelewi
somehow, anyhow…:D:D
tofauti ni kuwa Divock Origi ako na damu ya Kenya 100%.
Baba - Mike Okoth Origi (Mkenya)
Mama - Linda Adhiambo (Mkenya)
Divock alipata uraia coz alizaliwa Belgium wakati babake akichezea ligi ya Belgium
Hata hii yawa? Kwani mwafikiria Swahili is some sort of algorithm?
safi kabisa
Kweli huku ni kuchoka aisee! Mi sioni cha kujivunia hapo.
Ng’ombe.