Ona mwingine... hawa watu nimewainulia mikono

Hata kama ploti ni ndogo it does’nt stop Kamau from building a bedsitter flat…mbesha utafutwa jo

spotted in Juja
[ATTACH=full]40259[/ATTACH]

:D:D:D:D:D Hiyo ni kama watch tower iko sawa tu.

hii ni creativity…the building looks stable

:D:D mbona hangeweka tu ploti ya kawaida ama shamba ndio ndogo

HIO INAITWA PENTHOUSE BANA KAMA YA J.J

someone fell on those stairs some years ago

UKIKUJA KAMA UMEMEZA GILBEYS UNAFIKAJE PALE JUUU ?

na ameweka security lights LMAO

How dou you take a fridge up those stairs?

:D:D:D:Dthis is madness

atleast 20k per month anaingiza hiyo structure inaweza kua imemkula pesa ngapi

You use a long rope to haul it up from the outside. Ask @vuja de how they do it huko pipeline.

15 square metres per floor x 5 x 35.000 = Kes. 2,65m

:D:D

FOOLS This is a tower meant to add pressure to water. Kama ile iko pale Doni

by the fence I can be sure that structure is with in the property by all means large land in size…must be the borehole and creativity housing a caretaker and watchmen.

Lakini seriously, hii si ni kurogwa.

If it was whatever you want to imply, then the staircase would have been inside. Anyone familiar with a watchtower including control towers in airports knows this.

Crane

All that concrete/steel/glass and curtains to hold a water tank?