[ATTACH=full]29119[/ATTACH] Tafuta customer you get 100 k commission. 6.2 M [ATTACH=full]29115[/ATTACH] [ATTACH=full]29116[/ATTACH]
Leta deposit ya commission nianze kazi.
sweet baby Jesus
we come together and buy it as a village. Only elders will be allowed to drive it.
@Ice_Cube bring that 1M that is doing nothing in your account…we’ll raise the other 5M.
hehe wacha niangalie, naona kuna ka 1.4 M loose change
safi sana lakini pesa za Eurobond zimeisha wacha tungoje scandal ingine itanyakuliwa na a shadowy figure
Mimi ni ko na 1.098M itasaidia?
this gtr passed me kwa ile underpass ya pangani manze the echo caused by those twin dual exhausts left me depressed the whole day
:(
sweet machine lakini sijafika hapo bado
:eek:6.2m na si kaplot,Wacha nifanye kazi niko na mchezo sana
Where can I view it?
Ile insurance unalipia hiyo inaweza nunua vitz lakini ktalk mirrionares hapana tambua hiyo ni pocket change kwao
yani kwa mwaka unatoa atleast 280k insurance
or achukue ka third party ka Xplico 5k per year
hii ukienda nayo pale agakhan uweke 4sale haitalala alafu pia unaweza zunguka tu parklands yote hao wahindi wanapenda hizi sana ama gari yoyote inatoa hio sauti kwa xhaust
ok. ok
napenda … :rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
[ATTACH=full]29179[/ATTACH] [ATTACH=full]29175[/ATTACH] [ATTACH=full]29174[/ATTACH]
[ATTACH=full]29182[/ATTACH]
A very expensive coffin
Wapi mabirrionare @Wakanyama @Okiya tumewaletea katoy kampya bidding ianze
this is when you realize hawa ma mirrionaire wetu hapa ni mshuto tu wanajua kutoa