Nimetoka kwake

Sasa hakuna jaa…

[ATTACH=full]15016[/ATTACH]

13 Likes

weka mbisha or this will forever remain a hekaya!

Alikuwa anabeba njaa kwako?

kati yako na yeye, nani njaa

Anamaanisha jaa LA takataka. Msee wa garbage amepitia hiyo.

1 Like

Are u a farmer?

1 Like

Kwa nani huyo? By the way Kiswahili chako chakanganya! Tukitumia neno ‘jaa’ mara nyingi tuna ashiria takataka. Kama vile ‘Jaa la takataka’.

1 Like

ooooo pole walimu wa lugha si mwaelewa.

Woii huyo aliuumia makugala

UKIONGEA KIKUYU BILA PICHA TUTAELEWA NINI SWARA

1 Like

Makagare!

2 Likes

Did you mean Makagare?

2 Likes

female bird brain detected

Tuelezee sasa. Kulikoni?

harsh

1 Like

umetoka 680?

What have you emptied?

cut the damned bird brained biches na utakojolewa

:D:D:D:Dsema kucheka usiku wa manane kwa plot