NIMEFIKA MATHARE DAH!! KENYA MAENDELEO NAKWAMBIA

Nimefika Mathare Nairobi yaani niliyoyaona ni bora hata Kibera mara 100! Maisha yangu yote nilifikiri Slums nairobi ni Kibera tu kumbe kuna eneo lingine linaitwa Mathare, jaribu kutembelea hapo siku ukiwa Nairobi huwezi amini jinsi wanavyoishi, duh!
Wakenya wengi wana maisha magumu sana kuliko mtanzania.
Uliza Huyu Mkenya mwenzenu anaye ishi hapa TZ @mukuna

[ATTACH=full]55114[/ATTACH]

Naskia huku mathare kuna wataalamu wakupiga “ngeta” aisee!!. Niko chonjo lakini.

Mathare ni kibera ya Wakikuyu

Naskia wanaeka mbao kwa mkono nakufunga na kamba Kisha wanakupiga ngeta. Si huo ni unyama. Utazimia

Out of curiosity Naskia Azam ama Bakressa group anataka kuhamia Uganda, are these roumors true?

Vitisho tuu

Bado hajafika Makufuli kwa Njenga Makufuli Kaibab Makufuli kwa Njenga. But I’d rather live in the makers than the shit hole called Kibaha ati Lavington ya Dar where bigwigs like Sarah Matadi haishi. Bure kabisa bureeeeee

I hear that guy literaly runs economy of TZ.

Niko down after romp ya kunyanduana sasa na recharge na jaba na energy drink ya Azam

Nimetegea kwa siku nyingi sana uweke post ndio nione sources zako, kumbe wewe ni copycat kubaffu tu;
[ATTACH=full]55117[/ATTACH]

:eek::eek::eek::eek:

Hapo kuna shida kaka! Akihamia Uganda uchumi was Tanzania utaporomoka kwa kiasi kikubwa!

Sasa tufanye nini kaka… Si yeye Rais mkuu

@Mtanzania Magufuli utajitetea ukiwa upande upi?Kaka @123tokambio kachafua bahari!

Huo Mimi . Kwanza lazima niweke mtaa yetu kabla nifikishe hapa dokezi

Nishamwelezea. Nipo hapa pia jamii forum

Msitishike wakenya, RAIS wetu anapambana na ufisadi kijumla. Haya mambo mnaosikia habarini, ni uchochezi wa wapita njia. Nyie endeleeni kupigana ngeta.

Nakuona uko juu ya changaa kwani kaka sikuelewi. Changaa ndie mvinyo mkalii hapa mathare

No wonder una post za kipuzi tu, huna chochote unachoona positive kwa wengine ila Tanzania tu; sawia na Rais wako John ‘Ngati’ Pombe. Hadi wenzako huko jamii washakuelewa. Nimeamua kuchimba zaidi kwenye mtandao huo wenu ambao unahitaji upgrade…

Nowonder ukajiita ‘Kijakazi’
[ATTACH=full]55128[/ATTACH] [ATTACH=full]55129[/ATTACH] [ATTACH=full]55130[/ATTACH]

Upuzi mtupu tu huu, sampuli hio ukipost hapa tutakuita makufudhi…oh! already wewe ni makufudhi kijakazi wa john pombe
[ATTACH=full]55131[/ATTACH]

@123tokambio Kaka nimekuja hapa jukwaa yenu ili niwaeleze upuzii sisi twayaona mkifanya. Hatuwachukii Bali twawapenda. Juzi tuu tumesema EAC forums zote ziandaliwe kwa kutumia lugha ya Kiswahili. Tena sasa imekuwa siasa. Kila kitu siasa na wakenya… ati ohh Magufuli hajui kingereza… Kila kitu siasa