Vipi wadau kuna kamdenge nangoja hapa Edge in town before heading out… she had come for an interview kakanibamba…
Chunga kuna talker alipata anakatiwa na ndume some bar hapo karibu Afya Centre
Nimekuona
@ugali_ya_jana njoo hapa upesi utueleze jinsi ulivyoponea kuwa chipo-ed na lijamaa la miraba minne.
Ati alikugotea “Niaje sweety, uko smart”
Waaaiiii!!! Ugali ya jana karibu uingie box banae.
Ni yeye tu ali dai kidogo aingie box, hio day ma morning hours alikuwa amedai vile akona soo na anadai kupeleka dem out. Elders wakamsho ashike mayai pasua na ateremshe na maji, elders walimpatia ideas ka zote za hio budget yake. Jioni sasa ndio alijipeleka kwa ka club fulani ati ku chill akitegea jam iishe iishe…kama ametulia akaskia ameguzwa mabega na kuitwa sweety…aki ya nani Ruto must go!!!. Ugali ya jana kidogo tu ageuzwe wale watu wa mechi za nyuma…
Kujia moja
Jinice na ukubuke kuweka condom mpangoni na tunangonja hekaya with pics na sio tafadhali.
Hizo bia mbili ni shot pale calabash na unarudi home na empty balls
Leta link nijisomee hio hekaya ya abou n wasi.
The "one that got away " is a scam. Ile PNC utapata haina comeback.
kwani kuna mtu anatumia mwili yangu na sijui
Hehe, niaje kaka.
@Lord_Wanaruona anadai hio thread ya hio day. Sikumbuki fiti na title na ni ya when. Unaeza mind kumjenga…aone masaibu ulipitia akukumbuke kwa maombi on sunday…
haha Edge was lit kitambo bana… memories