Ni yule mshambuliaji wa GORMAHIA, Naombeni kujuzwa wakuu,
wanakuja
Naona umechukua namba ya Joseā¦
Anakuja nimeshamsainisha mkataba kama ule wa wajerumani na chief Mangungo
mmhh!labda wamlambe miguu xn manji .
Kama nyie mlivyomlamba Mo
mchumia tumbo akil maliawezi waacha salama
Rest be assured, kagere anakuja Jangwani
aje tumroge, Amuulize AMBANI na shikokoti
yule atapiga msimu mmoja tu yanga waanze kumuiita babu
Anakaribishwa sana aungane na winga teleza mrisho khalfan ngasa ankoo
hawana uwezo huo signing fee anataka milioni 180!!mshahara milioni 11@ mwaka!!nani bongo anaweza kulipa hivyo?kwanza kwa kiwango gani alichonacho ila kwa bongo nabakiza maneno kwani usajiri wa kimzuka upo