Neymar annual pay vs Apples Tim cook

Neymar only played 8 games in 18 months due to an injury

1 Like

Neymar is very smart

io ni kama wizi buana

1 Like

they don’t mention Tim cooks stock options

5 Likes

It is usually counted. Unaona wamesema total compensation.

1 Like

But neymar uses iPhone

ulikuwa unataka atumie mediatek nini

Lesson, if your kid is ultra talented in a certain sport, music or other activity, encourage and support them :100:. Imagine if Baba neymar had encouraged him to chapa kitabu ufanye kazi big American corporation, he’d probably be a jambazi sugu in the ghettos za Brazil

9 Likes

But also talent scouts are there in plenty plus developed football academies for kids. Hapa Kenya kula tu kitabu. Can be a good backup option if things don’t go well na hiyo talanta yako

hakuna kitu kama io. watu kama ao the so-called Neymar ni wachache sana kwa dunia, na kuna chances mingi watoto wakifuata io njia, hakuna nafasi enough huko juu wanaweza fit, lakini wakisoma, ingawaje hawatakuwa executives wa billion dollar corporation kama Tim Cook, wanaeza kuwa wakubwa kwa zile organisations ziko kwa county zao, ama country zao.

ukiona mtoto anacheza na masomo eti anasema ako na talent, tandika yeye,

1 Like

“Neymar only played 8 games in 18 months due to an injury”

Hii kesi ya Neymar imenikumbusha elder fulani @Ndovu, huekelea mega jackpot akule 399m za sportpesa. Ndovu anawekeleanga stake ya soo moja. Niambie kama hio sikuwa smart. Invest less make more.

2 Likes

fukara @ndovu ni @kondoojinga

2 Likes

Neymars skill dictates that unless he is careful, his income will dip seriously in the next 4 or 5yrs given his lifestyle. Tim Cook with his status as a billionaire is unlikely to have a reduced networth any time soon, even in the coming 2 decades.

1 Like

ame cha kafunga kwa mwarabou buana, io contract ilikuwa ya 3 years

103 x 130 x 3

around ksh 40 billions in 3 years alone, huyu hagwess filisika

1 Like

Honestly @sani you have a point but generally your software is very outdated. You are a very old school guy who thinks we are still in the 80s and 90s.

2 Likes

Nakumbuka ile trio ya MSN. Neymar is just a magician on the ball.

2 Likes