Next playground in Thika...welcome THE GARAGE

Not yet launched officially but last week tulikua uko testing 1 2 1 2 and so far so good.
[ATTACH=full]237166[/ATTACH]

Kesho wale wako phase 13 kujeni kuna mwenye amewekea watu burudani… Niko na 2 of my team members hawakuji so tags ziko[ATTACH=full]237167[/ATTACH]

imeweza aiseeeh!

Imeweza

Waroge

Si harusi?

Harusi ikiwa nta kuambia. That’s a gig organized by some SBK riders wa kiambu… Wuui am saying alot

Spike

Kuna mukurino wa boda alinibeba kutoka blue post and all he talked about was this club, that was a month ago.

hizo lights zote.mtu atalewa saa ngapi?

Allow me to demonstrate…

shall i hold your 1&2’s ama beer while you are at it?

Tag me during its official launch. I will show up. Hopefully hakuna pishori like other clubs in Thika

Labda wali reform baada ya marehemu Thuo

Hopefully. I prefer going to spur mall. Thika imejaa watoto wengi sana wa MKU

But launch naeza kosa this industry iko na maneno mingi