:D:D
Koru ni home ground.
Ukipitia hapo kwa fundi wa tinga tinga uone kipara imepakwa anti-glare mununulie WD40.
Wankernyama wacha kujiongelesha…
huyo simujui
Niokotwe chini ya meza. :D:D:D:D
nukisha mbao
motokubwa,wekea mimi gunia mbili
@gashwin kuja uone makaa ya Gravvilea Robosta ‘mukima’
hio ni majani ya kufunika
Nikienda home nitakuletea makaa ya mutamaiyu