Newbie

Mimi nakula za makaa in undisclosed location [ATTACH=full]194664[/ATTACH]

@Tarantinoh kimbia saidi.

Gichana? Uko na barua from the local forester?

Mimi ni former special forces retired commando, enzi zetu hakukuwa na za Somali,wakikula huko nakula huku

niaje motokubwa?

Kabla nikue padre nilikuwa nachoma makaa na kuuza enzi hizo

All those who have liked this thread are persons of interest upande wa B kubwa

wacha uwongo purr 47

Gasia hujui kuchoma makaa,lazima utoboe shimo kwa hio mchanga ndio makaa itoke sawa,na ikiiva hapana tumia maji kuzima makaa .

unamaanisha nini shemeji?

Hizo ni stems za bangi

Unatumia mchanga

Wakanyama unasumbua

poa sana

hio ni majani ya mti ya mukima

Ogiek.
Toka Mau.

Jacaranda tree.

Hapo mahali moshi inatokea ndio breathers… I did this kitambo when I was young and thuggin

Sanda Sana Mr Opara Cwazy baldheaded artiste tutafutane Rosa place Kwa Ochola Koru, Niko na kijana ya nje hizo area Kwa Mzee onyi.

Wakanyama wamekuwa wengi hadi wanasalimiana. Motokubwa = wakanyama.