Ni siries gani mpwa sai zinabamba? Nataka love story na action kwa mpigo
unasema?
Siri ya Baba iko sawa…
Sijui siri zozote. Hata ukiniambia nasahau
@introvert kuja na TATA ya KDF
Hii ng’ombe ilale ndani hadi Monday.
Ong’er.
[ATTACH=full]173490[/ATTACH]
ongea tu kijaluo umezoea tutapewa transleshen .
What the fuck is siries?
leo umeuliza kitu cha maana
Into the badlands
Westworld
Billions
Star wars Pornhub parody
@markopolloh wewe ni pokoti ya kapedo
Bandland imefika sisn ngapi ju niliachia 2
We ni murogi sana
Mi ni bunyore bana
We kwanza umenikumbusha… jana ilikua cku ya kusamehana na ulinitusi.nimekusamehe lakini
season 3
Its the plural of siri.
Ati nini?
@introvert tata haijatosha huyu jamaa
Its seems ni factory settings
Wacha kutumia simu za mchinku, zinatoa vitu zingine ajabu
Tafuta Barry.