Ndugu Watanzania wa Jamii Forum

Najua baada ya kukutana na dhahama ya kutoweka kwa JF yetu nchini kwetu, wengi tumeteseka kwa kukosa habari moto moto na utani uliozoeleka kule JF.

Kwasasa nashukuru ndugu zetu Wakenya kwa kutuwekea majukwaa yetu pendwa hapa. Niwaombe watanzania wenzangu tuwe wavumilivu na ukikuta mwenzako amepost thread au Comment, tuwe na roho nzuri tupeane likes ili kuondo hizi status za New Villager.

Ni hayo tu.
Tegeta Nyuki

Daah:):):):)eti new villager… kenyatalk kuna mambo ya tofauti sana. Ukisoma kiswahili cha wakenya hadi kichwa kinauma.

Ni balaa kwakweli

Jiwe atavimba sana akiona mambo yanaanza kuwa motomoto huku

Yaani natamani member wengi tuliokuwa JF tujazane huku na mijadala iendelee kama kawaida

Tar

Taratibu tu mkuu mwisho tutajaa, Leo katika pekua pekua zangu ndio nikalishtukia hili, maana bila JF hali ilishakuwa mbaya, kumbe in rahisi kukaa bila kwenda kuliko kukaa bila JF.

Teh teh Ndugu umesema ukweli mtupu aise.

Kweli mkuu, tukiwa wengi huku mbona malaika wa magogoni atachanganyikiwa tu.

Mkuu tujazane huku ili mijadala iendelee kama kawaida

Kweli kabisa Mkuu harakati ziendelee kama kawaida.

hahahhaha eeet new villagers tuko wengi aiseee

hahahaaaaa new villager

Umenena Mkuu. Tukutane jioni hapo Fyatanga au Fair Way tupate Serengeti Light

Tatizo hili chimbo watalijuaje?

Kama wenzetu nao wana mbio kama sisi lazima watafika tu hapa maana Leo nimeenda Nigeria Mara south mpaka muda huu nipo Kenya kidogo najihisi Niko home.

Aaah! Kenya Home Kabisaa, hapa tunapambana kwenye kiswahili tu.

Nimeenda Nigeria hatari tupu bora hapa.

Kule si ni kiingereza tu?

Hahaha. Kula like old villager

Ndio ni Mwanakijiji mgeni:p:p:p:p