Ndio nimeamka after game ya jana

So jana niliwekelea bett kama wazito wengine after ku analyse game, nikaonaa it’s my time to dry frae mhndi. Ndio mimi huyo nikawekelea 20k kwa Russia ati hawaezi enda home ndio wapatane na Britain. But wapi, ikatoka draw maze, bet ikaujgngua.

Sa ikabidi nitumie kila kit ilikuwa available, shash, pombe na dlrugs zinginhf sijui.
Pics nimezipatgta kwa simu asubuihi.
[ATTACH=full]182085[/ATTACH][ATTACH=full]182086[/ATTACH][ATTACH=full]182088[/ATTACH]

Yani hata ika nyesha kwako pekee… hii ni kali

Mungu mwenye enzi atuokoe sisi wanaume kutoka kwa pombe na wanawake Amen

Hii nyumba ni old school inakaa ya wazazi hivi. How one drinks to this stage is a wonder.

Hii lazima ni ya kununuliwa mwanaume kamili hawezi teswa na pesa yake hivi

:D:D Lakini nimewahi kulewa nikaamua lazima niende home 300km away early hours of morning nikajipata macho imejifunga kidogo na ikafunguka nikaona bado nikiwa kwa barabara.

Mtu humeza fombe mpaka afikie hiyo kiwango akifikiria nini?

:D:D fombe ikifikisha wewe apo ,sare tu

Thats risky buddha, they should introduce these coasters in bars…

[ATTACH=full]182105[/ATTACH]

Thanks. Mungu anisaidie nisiwahi tena

mimi ulevi ya fombe huwa inanishida,kuna day nmerudi kwa nyumba mirni kumbe msee nilijiachia baridi coz of ulevi,hile pneumonia ilinichapa wavha tu