nawaza:Kwa nini tukimbilie Jamiiforum/kenyatalk badala ya Mwanahalisiforum ?

Labda kwa sababu ni ya mwanasiasa?
Labda kwa sababu iko Tanzania na muhusika hajawahi kupitia changamoto hivyo inaweza kuwa na matobo ya kiusalama?
Labda watu wanajiuliza itakuwaje ikitokea mmiliki akaamua kuunga mkono juhudi?
Labda kwa Sababu haikufanikiwa kuwa mbadala wa JF wakati wa amani?
Inaonekana haijafungwa, wenda ni kwa sababu haina madhara au TCRA hawaijui?
Labda…
Labda…

nawaza…

Itakuwa labda

Halafu MwanahalisiForum nilikuwa nimeisahau…ngoja niicheki.

Hii forum sijawahi kuiona kama ina mzuka , zaidi ilikuwa ni post za Siasa tu ndio zilizokuwa zinabamba nazo wachangiaji ni Malaria sugu.

Watu huwa wanaangalia aina ya wachangiaji walioko ndio wanajiunga.

Nahisi watu wengi tulijiunga lakini tukatelekeza id na kuendelea na JF.

Brand ya JF ilishakuwa kubwa.

mwanahalisi forums siifagilii habari mpya zinachelewa kufika ipo kama isa mchuzi

Sijawahi kuisikia

we ndo demi kahaba wa jf??

Ndio mimi

Samahani ndugu wajumbe, kidogo nimechelewa kufika…
Naomba kuwakilisha

Ulikuwa wapi?

Ahsante kwa kufika, karibu.

Nadhani itakuwa imepooza sana hiyo forum… Nimeiangalia na kuona haina uchangamfu!!!

Badonipo nilipokuwepo mkuu

Mwanahalisi forum nayo ipo msambweni. Ishu hapa ni privacy ya watumiaji, kwa kanuni za maudhui mtandaoni hakuna aliye salama ndani ya TZ

Mbali na kutelekeza ID, mimi nilishaisahau kabisa, kwanza kuna kipindi ilikuwa inasumbua sana, labda sasa hivi

!

Mambo iko ktalk…

Buda hiki Kiswahili chako nakishuku sana. You don’t come off as a Tanzanian. Ama umekaa 254 kwa muda ? Anyway, usijali ni vile napenda kuchora map nikitumia diction. jibambe.

Mbona mnaambiana hivi aisee

Nimempa jibu ambalo anapenda kulisikia.