Habari ,naitwa Johnson natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni miaka 35 naishi dar es salaam, nimeajiriwa katikaTaasisi binafsi, dini yangu ni mkristo, elimu yangu nina shahada ya biashara ,sina mtoto, wala sItumii kilevi chochote cha pombe,
Mke ni mtakaye
Awe na miaka kuanzia 25-32,elimu kuanzia dploma na kuendelea, awe hana mtoto, hanywi pombe, awe mweupe wa asilia, awe amejiajiri au kuajiriwa, awe mkristu na kama ni muislam awe tayari kunifuata, awe hajawahi kuolewa na kuachika. Karibu sana kwa ataye kua tyr tuwasiliane pm au kwanamba hii +255756711958
Masharti na vigezo ulivyoweka ni vigumu sana kaka kwa dunia hii ya sasa,best luck…
OK, nimekuelewa ataye kuwa na uthubutu aje pm tuyajenge
But please don’t get me wrong,am a man,i just wanted to clarify how the situation is at the the moment …
Yes I knew that u’re a man OK, worry out
Thanks for u’re clarification
Hii imekaa kama kweli, aya kina dada sasa muache kulalamika fursa hii
Watakuja
Nafili hisia katika tangazo… Kwa mara ya kwanza najitaidi kuamini kuna people wanakuwa na uhitaji makini ya mwenza… Haya Wadada muyajenge huko na mwenzenu… Ili one day tutakaporudi kanani tupate la kusimulia… All the best mdogo wangu.
Kila la heri mkuu
Paschal Makumbi
All the best Mkuu.
Wadada fursa hyo
Kila lenye kheri mkuu
Da!! Ungewahi kama wiki moja nilikua sijatolewa mahari ungekua mume wangu aiseee…maana unasifa zangu kabisa Ucjal utapata tu kikubwa uvumilivu…
Piga goti umwombe mungu akupatie mke yule uliyepangiwa kuwa naye…ukipiga tarumbeta huku hutapata manake wanawake wengi humu wameolewa,wengine ni wabunge,wetu wenye nyadhifa zao na wakuu wa maidara mbalimbali.
Huko unako fanya kazi umekosea?
unaonekana uko serious lakini shida ya huku madada ni wachache kupata variety unayoitaka
Kila la heriii
Duuuuuh!!! Kumbe ndio umetolewa mahari wiki jana na jamaa mvua ya vuli… Nakushauri kimbia aisee … hahahahahaaaaaaaaaa…heheheheeeeeeeeeeeeeeeeeee… nguvu za kiume
Wakenya unabebaa?