Naona maruweruwe!

Msaada wenu tafadhali!
Hivi humu nimeingia Jamiiforums au ni wapi? Nauliza maana hata nikitaka kuedit profile yangu siioni… Nitoeni ushamba wakuu

Unaona hii barabara. Teremka nayo halafu kula left hapo chini. Ukiona mlima bomoa halafu ukishuka piga right. Ulizia hapo kwa gate ya mabati

Kwenye Menu ya forums,shuka chini utaona Jamiiforum inaonekana kama subforum, ingia hapo utaona forum zote za Jamiiforum

Bebi @The Tweet saidia mtu wenyu

Shukrani brother

Ooh bebi ngoja nimpeleke nyumbani.

mkuu utazoea tu wenyewe tuliingia hivyo hivyo ila jamaa hawajajipanga nafikir watajipanga tuendelee kuwapa changamoto sijui kwa nini walikuwa hawatembelei jf

Nyumbani kufanyaje tena

utazoea tuu, hakuna njia…hapa lazima uongee English

wenyu=wenu

wabongo tuko mbele sema kuna mambo fulanifulani madogo yanaturudisha nyuma Ndugu ila tutafika.

kweli mkuu

hii kimbelembele ya kukosoa watu tuachie sisi wakenya

Huku mods masela sio Misri mods ni Marobot

Ni kama kule kule Jamiiformus original…

Utaizoea tu with time…

Cc: @Mahondaw

Yaniiii hata mimi nabung’aa bung’aa kwa baadhi ya vitu humu aseeehhh mazoea yana tabuuuu… nishajizoelea jftz jameni…

Pole @Mahondaw wangu… utazoea tuu…

Thanks love ngoja kwanza niisave vizuri kwa memory ya kichwa Ile password make ni ngumu balaa… hadi @ lol nimecheka sana

Nipatieko hiyo password yako nikuwekee kwa kumbukumbu yangu

Hahaha… no one can even dare to guess that password…