Ngosi
June 18, 2018, 9:13am
22
Lilongo:
Mwl Rct wapi mzee
Aisee tume miss huduma yake
Anaendelea kutoa huduma kama kawaida mcheck kwenye no.yake ya whatsApp
Mkuu hautaji kujiunga na forwarding agents?
Kcamp
June 20, 2018, 10:39pm
26
Fata hatua za wadau juu hapo…utakua unaagiza mwenyew bila kutumia watu watao ku charge pesa kwa jambo unaloweza lifanya mwenyew.
Asan
Asante kwa kumsaidia mwenzetu
Sijuti:
Mimi nimewahi kununua mara 2 kupitia Ebay, hatua za kufuata ni hizi
Inabidi uwe na Credit/Debit card, mimi nilitumia ya CRDB ila ina mlolongo kidogo maana CRDB huwa wanakutaka ujaze form ya kuomba huduma ya Online Purchase ndipo kadi yako iweze kufanya manunuzi, NBC wao kadi zao zinakuwa active mara baada ya kupewa unaweza kufanyia manunuzi.
Ukishakuwa na kadi, fungua account ya paypal, ni muhimu kwa usalama wa pesa zako ukisha fungua weka taarifa ya kadi yako kwenye account ya paypal hakikisha bank una pesa kidogo kama 10 elfu hivi, account ikiwa empty watakataa.
Ingia Ebay na tengeneza account na uweke taarifa za ukweli ikiwa ni pamoja na anwani yako ambayo utapenda mizigo ikufikie.
Kuna baadhi ya bidhaa huwa muuzaji anaweka wazi kuwa hasafirishi kuja Tanzania hizi zina njia tofauti kuzipata, mimi nitaelezea zile zinazoweza kufika Bongo.
Chagua bidhaa uitakayo (hakikisha muuzaji ni Top Rated Seller) hii ni kwa usalama wa fedha pia
Chagua Buy it Now
Chagua kulipa kwa paypal, ingiza email na pasw ya paypal account yako, hapo utaona taarifa za kadi yako zimekuja automatically(kumbuka ulizijaza kule kwenye paypal account)
Thibitisha anwani ya kutumiwa mzigo na fanya malipo.
Mimi nilisubiri bidhaa kwa siku kama 15 ikanifikia toka US na niliyoagiza toka china ilichelewa kidogo maana zilitumwa kwa posta kawaida.
Short and clear details, safi sana
dronedrake:
kwa ufupi sana,
napendelea aliexpress/alibaba zaidi ya ebay
1.uwe na sanduku la posta (slp)
2. kadi ya visa/masta (yenye mkwanja)
3. nenda bank husika, waambie waiwezeshe kadi yako ifanye ‘online purchase’…hapa ushamaliza
a. ingia aliexpress.com/
b. search bidhaa uitakayo
c. cheki feedbacks za previous buyers wa iyo bidhaa ili seller asiwe ‘scammer’
d. akiwa poa, chagua shipping utakayoiweza ( hua napendelea aliexpress standard shipping , usd 13/item, 2 weeks kufika ) , cheki total price = item + shipping price
e. click ’ buy now ’ , itakuja page mpya utajaza details zikiwemo SLP , namba ya sim, visa card details
f. watakata kiwango/mkwanja husika kutoka katika kadi yako then apo utakua umemaliza.
g. mzigo utachukua siku kadhaa mpaka kufika, utapigiwa sim na watu wa posta ukauchukue!
AYO NI MAELEZO KWA UFUPI
Tatizo la Aliexpress / Alibaba usalama wa fedha zako ni mdogo sana. Mzigo usipofika kuipata pesa yako ni ngumu mno tofauti na kutumia paypal. Nishalizwa vijifedha vyangu na hawa jamaa wa aliexpress, wanakwambia pesa imerudi lakini bank haiingii na hata ukicheki bank statement hakuna kitu.
Lakini kwa paypal usalama wa fedha zako ni 90% zinarudi. Mzigo ukichelewa tu nafungua Case fedha inarudi kama ilivyo kwenye account tofauti na aliexpress
Gideone:
weka izo contact zake
Mwl.RCT +255784496856 mcheck whatsApp
Ngosi
June 25, 2018, 11:21am
32
Ahsanteni sana kwa michango yenu, ila nimeijaribu KIKUU ipo fresh sana tena haina haja ya kuwa na PAYPAL wala MASTER CARD au VISA, pesa una lipia kupitia HUDUMA za MPESA, TIGO PESa, AIRTEL MONEY na wana mfumo wao wa malipo unaitwa K PAY
Asante hapa nami nimejifunza kitu
Ipyax
June 28, 2018, 8:57am
34
Tatizo la Aliexpress / Alibaba usalama wa fedha zako ni mdogo sana. Mzigo usipofika kuipata pesa yako ni ngumu mno tofauti na kutumia paypal. Nishalizwa vijifedha vyangu na hawa jamaa wa aliexpress, wanakwambia pesa imerudi lakini bank haiingii na hata ukicheki bank statement hakuna kitu.
Lakini kwa paypal usalama wa fedha zako ni 90% zinarudi. Mzigo ukichelewa tu nafungua Case fedha inarudi kama ilivyo kwenye account tofauti na aliexpress
Ishu ya usalama wa pesa kuwa mdogo sio kweli,aliexpress una option ya kufungua dispute ndani ya siku 60 kama mzigo wako haujafika.Ukilipa hela wanashika aliexpress mpaka upate mzigo kisha una confirm ndipo supplier anapewa hela.
dronedrake:
kwa ufupi sana,
napendelea aliexpress/alibaba zaidi ya ebay
1.uwe na sanduku la posta (slp)
2. kadi ya visa/masta (yenye mkwanja)
3. nenda bank husika, waambie waiwezeshe kadi yako ifanye ‘online purchase’…hapa ushamaliza
a. ingia aliexpress.com/
b. search bidhaa uitakayo
c. cheki feedbacks za previous buyers wa iyo bidhaa ili seller asiwe ‘scammer’
d. akiwa poa, chagua shipping utakayoiweza ( hua napendelea aliexpress standard shipping , usd 13/item, 2 weeks kufika ) , cheki total price = item + shipping price
e. click ’ buy now ’ , itakuja page mpya utajaza details zikiwemo SLP , namba ya sim, visa card details
f. watakata kiwango/mkwanja husika kutoka katika kadi yako then apo utakua umemaliza.
g. mzigo utachukua siku kadhaa mpaka kufika, utapigiwa sim na watu wa posta ukauchukue!
AYO NI MAELEZO KWA UFUPI
Hata mimi natumia aliexpress na mizigo naipat ndani ya siku 26 mpaka 28 lakini pia ajaribu kutafuta cars ya equit bank wako poa sana