Mvua kuja at the wrong time

Jirani amejua hajui
[ATTACH=full]160474[/ATTACH]

io imequalify kuwa quarry direct…Shimo ni ya choo ama??

Maji ya mjei hatanunua

mvua iendelee ,weru zimeshoot niaje.

Septic tank. The fundi is planning to race against time, am ni against mvua

Niliposoma heading I thought someone hakua amenunua mbegu:D:D:D:D,win win situation hivo gashwin amenena.

Hii area watu hawanunui. But one has to be chap chap, mafundi tell you anaongeza mtu mmoja wa kuchota maji @500/= daily

Afadhali you postpone works hadi kukauke,construction wakati wa mvua huwa costly

Wacha kumcheka jirani yako

Water pump

Kweli kabisa. Kamvua kakianza kidogo wanawacha kazi. You end up paying a whole day’s dues while actual hours worked could even be 4 or 5