Mugoka ya Moyale haikufika jana

[ATTACH=full]497053[/ATTACH][ATTACH=full]497054[/ATTACH]
[ATTACH=full]497055[/ATTACH][ATTACH=full]497056[/ATTACH][ATTACH=full]497057[/ATTACH]

Hii majani MTU ndio akule si lazima aoshe na jik ama Dettol. Hio uchafu ndio hufanya watu wa hallucinate.

Walikula ya juzi

Why not fly the muguka from isiolo/nanyuki/embu airport to the destinations eg moyale, mandera, mombasa, lamu, nairobi, kisumu etc.

D Max ndio baba yao

waambie

We have customers “drop zones” along the way. Tena the cost model will be further extended. Imagine kutoa muguka kutoka Kiritiri to Isiolo, now account for the air cost? Kilo itabidi uuze 1300, effectively pricing yourself out of the market

It’s extremely dirty ukienda pale ngara utajionea mambo esp when it’s raining hiyo vitu inawekwa Kwa ground

Unaona D-Max ngapi za veve?