MTU RA NDOM

Niko club 254 Niko club Yakina deja vu, but I can feel each and every chic ass in my passes, since I am muscular than Thier bouncers and I am in my late 30’s. 37 to be exact please advise?
Note: Some are asking for my babies:D:D

Heheh afande ya kws go drunk you are home

[ATTACH=full]188012[/ATTACH][ATTACH=full]188012[/ATTACH]

maji yamezidi unga kaka, get some rest

Alcohol you later Sir

Eneza ukimwi yako pole pole kaka.

What would @Mworia Wameru do?

Hawa wasichana wetu nao,wakajua you have the muscles coz you need them for your job.Kushika rhino,warthog,zebra wakati zinapewa dewormers is where your muscles come in handy,otherwise huku ukileta kinyoriro tutakuchapa tukikuelekeza langata rd kws gate ukaendelee na shift ya kuchunga simba wasitokee kwa barabara.Hizo muscles ni meffi kwetu kwikwikwikwi

:D:D:D
Misuli ya kuchunga cricket na dragon fly.

:smiley: :smiley: Mbona unashikanisha sweeps kumi kama chain-link ya game park?

Referee patiana red card… hiyo tackle ni mbaya saidi
[ATTACH=full]188024[/ATTACH]

Ngai wharrathread? @Tarantinoh kuja utuambie how your head is doing good sir!

Kimakia…??? ndukuona mutumia. You are a bad boy.:D:D:D:D

:D:D:D:D:D:D

BTW Jifathee when is your son performing? keep us informed. Wangu (nephew) ameendelea sana, he is the lead performer. Kuna mwingine I am thinking about. Don’t know how the parents will manage dropping him to music schools on Satos as they live far from where they are based. Given that they live in Runda could you please send me some deets of the nearest places? nataka aende as he is not focused on masomo.

@Tarantinoh its morning, wake up and face your deeds head on. :D:D:D

niaje mluhya mzulu

https://www.youtube.com/watch?v=id=ZR0v0i63PQ4;list=RDZR0v0i63PQ4

Niko chonjo CID.

hata nishalose hii thread ilikuwa kuhusu nini. hizo hapo juu si sweep ni vacuum cleaners