Msikilize mhandisi wa TCRA

[MEDIA=twitter]1008099644356939778[/MEDIA]

Malaika Wa shetan wameshuka rasmi

Mamaeeeeeee zakooooo

Hawa jamaaa ni full upumbavu.

Shithole

Sasa hapo alikuwa anakanusha ama alikuwa anaboresha msimamo wao!?

Hahahaaa

Anatuabisha wahandisi mpumbavu huyo

Katumwa tu huyo hana namna

Mwanakijiji mwenzangu mbona wanitukana?

ngoja tusubiri muda ndo utaongea

Mhandisi ajue kuwa nimemtukana matusi yote ya nguoni kimya kimya

Huyo Engineer Mihayo mwache aendelee kuchumia tumbo asije kupiga mihayo akienda kinyume na KIPARA NGOTO JIWE.