Tudor,Tudor 4,Tudor Noorah,Kiziwi,Buxton, Kaa Chonjo,Makupa hakuna stima. Guraya,Mwembe Tayari,Majengo,Sparki hakuna stima.
Where you are kuna stima?
Tudor,Tudor 4,Tudor Noorah,Kiziwi,Buxton, Kaa Chonjo,Makupa hakuna stima. Guraya,Mwembe Tayari,Majengo,Sparki hakuna stima.
Where you are kuna stima?
Stima mingi Bamburi.
Kuja samba.
At the moment siko coastā¦Coast nasija weekend na mm ni mtu wa Kilifi:)
Na ya Mombasani wayaongelea aje Miss Chief? :D:D:D
Hata zimerudiā¦
Heheā¦napata kila habari huku niliko
Mshumaa
zimekujaā¦border ya tudor na kiziwi!
Hehehehheeā¦iko wapi hiyo border?
karibu na rounda ya kiziwi. By the way, do you know no other round about has so many roads like that one
vok stima iko
Mombasa shida tupu.
@MISCHIEF kumbe ww ni jiraniā¦ukija pitia Kavenya upewe shupa tatu mblo
Kavenya:rolleyes: apo sijapata poa tutaongea lakin
Niko Sparkiā¦stima miiiiingi hadi zamwagika
Mbona mlifunga makuli fagia?
swaaafi
sijaku elewa
Kulikua na bar moja hapo spaki na hilo jana.
Twas very famous
Maybe ilifungwa kitamboā¦sijawahi isikia