STOLEN
Admin kindly Approve.Hello parents.NINA SWALI…Have been married for 3years but nimeanza kuchoka na marriage.OK we live in a double room house (choo na bafu nje,Sharing)na sometime zinakuanga chafu sana.nikaambia hubby tuhame tutafute nyumba self but akasema his sisters depend on him so hataweza kulipa 1bedroom.These sisters stay in Nairobi doing nothing (Watching Nigerian movies) na anawalipia nyumba,1bedrom each.wanaishi wawili wawili,they are 4 of them not married no kids but hawataki kurudi ocha.Wako 50years,48years,45yrs and 36.Mimi nilinyamaza tu.
OK back to my hubby. Akitoka job jioni hakuna kutoka nje tena.Huwa anatumia mkebe ya Sabuni kukojolea Asubuhi namwaga.This has been happening for so long. hawezi mwaga na huwa naogopa mtoto aichezee namwaga tu.I told him vile naumia kuosha choo kila wakati ikichafuliwa akaniambia eti hiyo ni shida yangu yeye huwa haendi hizo choo!haki niliskia uchungu.Jana nikaamua kutupa hizo mikebe huwa anakojolea kwa nyumba ndio hata yeye akue anaenda hizo choo but gues what! Kuna mikebe ya Blue band mtoto huwa anachezea and this morning, nimeipata kwa meza ikiwa imejaa mkojo.haki nimekasirika!I told him to make sure ametoka na mkojo yake akienda job.
Sometimes I fail to understand why he does this.This guy has money but Mimi hujitaftia pesa huwa simtegemei.He drives a nice car but hawezi tutaftia nyumba mzuri.Anangangana kutafuta pesa ya kujengea wazazi wake,Already amemwaga materials, his sisters are watching Oga wakiomba hadi pesa ya salon!Will this nonsense stop or I should just forget about marriage and leave? should I look for a house tuhame nikue nikilipa rent?haki nipatieni tu advise.Ametoka akiwa amekasirika na mikojo zake.kindly advise.
EDITED. THANK YOU ALL.wenye wanauliza huwa anapoop wapi.akikuja usiku hakuna kutoka nje,maybe anapoop huko job ama hoteli but akiwa na shida ya tumbo anatumia bucket namwaga asubuhi.This is a TRUE STORY