Mimi mke wangu nilimkuta akiwa fundi sana

Ronaldo na Messi hawakulala wakaamkua tu nakujikuta wao ni wataalam uwanjani, walijifunza soka toka muda mrefu toka wakiwa wadogo.
So kama mke wako ni Fundi sana Kitandani brother hiyo siyo habari njema. Atakuwa amepata mafunzo Kwa muda mrefu kupitia kwa makocha mbalimbali.

Leo nadhani kutakua na kipindi cha maswali na majibu nyumbani:mad::mad::mad::mad:

Washukuru makocha sasa

Tatizo alikua silidi…au alitengeneza?

Aisee

hahahaaa cheza part yako tulia!

Mzee endeleza mechi acha kujipa maswali yasiyo ya msingi

Tena mkeo kapitia kwa kocha Sir Ferguson na Guardiola

Ni la kujivunia pia kujua majambozz si mchezo

cc @Smart911

Ndio hvyo huo ujumbe umenipa maswali sana leo

Mkuu kwa hyo watu walimpa mafunzo yakutosha

Ndio ndio tik tak itakua kachukua kwa pep,ila hii kupaki bus akizidiwa kachukua kwa morinho

Bora aje akiwa fundi kuliko umfundishe halafu akautumie kwa wengine

Ulidhani kaupata ufundi kwenye academy yako

Hahaha au sio

Nilidhan labda walifundishwa na masomo wao

hiyo siez jua lbd kungwi wake alimfunda bt usichunguze sana hutamla

Mimi @Mahondaw wangu ni fundi hakuna mfano…

Cc: @Mahondaw

Cha wote hapo

hao makocha watakuwa wanamsajili kinyemelea akacheze ndondo