Hivi kwa upigaji ule wa penati jamani ,nilimuona hata maradona akiitupa siga yake chini kwa hasira
Messi kaniangusha sana. Ile penalt ya kinjombe mji kabisa
Messi early retirement coming soon
mpuuzi sana kyuma yule
kwanini kocha asitumie combination ya dybal, dimaria, messi, higuain? na atumie atumie dimaria, messi, aguero? mimi simuelewi kwakweli
Alishastaafu akarudi tena na mwaka huu inakula kwake
Betting failed.
Not really…
Higuain toa hapo…
Messssss
huwezi kumtoa mchezaji ambae yuko first eleven, aguero sio first eleven ya man city. umeona wameigwa tena
Haha eti Aguero si first 11…kwa huyo first11 ni nan…?
Gabriel Jesus
Aisee unacheki mechi za city kweli