wale masingle tunapataje wenza huku wakuu?
Subiri waje.
Andika bango lako popote tuu
Nenda Sex and relationship
Popote tu unatupia tangazo
Miss bado una tafuta!!?
Mi mwenyewe natafuta mchepuko…ila sijui jukwaa la kuweka:D:D
PM inajaa sasa hivi…
.mmmh
Upo ukimbizini bado unadai maziwa na asali
Ukimbizini kwa baba mdogo!! Huku Kenya madam Wao wababe sana eti. Na wanaweza ukutongoza tu, bila huruma na nini!!!
Nipo hapa kama unataka mchepuko damu changa INA chemkaaaa
Kambi popote
Ndio sijapata
Aisee…
Hahah!!
Acha nicheke kwa herufi tu maana cheko la emoj lina rangi ya chama
Watafute FB
Na tutaijaza kweli
Shem upooo
Nakuona nakuona
Nakuona village elder…za uzima?