Matumizi ya Lugha: Bibi, Mke, au nyanya ?

[SIZE=7]Bibi, mke, au nyanya?[/SIZE]

Katika neno la wiki tunachambua neno bibi, mchambuzi wetu leo ni, Nuhu Zuberi Bakari ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa Maswala ya Mawasiliano kwenye Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Nuhu Zuberi Bakari anazungumzia matumizi ya neno bibi nchini Kenya na Tanzania.
Anasema Bibi linatumika hutumika Tanzania kwa maana ya mama ya wazazi wa mtu na Kenya, linatumika kwa maana ya mke.
Je ni ipi sahihi? Bwana Bakari anasema maana zote zinakubalika.

http://www.chakita.org/

https://thumbs.ebaystatic.com/d/l225/m/mYVMxe8p73lgeVHPyaGPvAQ.jpg

Upussss

Kabisa! Kila mtu akule kwao…

hivi ndivyo vitawe… maneno yenye maana zaidi ya moja

Mke sounds more like any woman as in mwanamke.
Bibi is more direct. A woman that is married to me.
All bibis are wanawake but not all wanawake are bibis

Mke ni jina la hadhi
Bibi ni neno hivihivi tu

This is what @girlciki93 was talking about. Pumbavu lowlife.

Bwana/Bibi

Mke/Mme

Mwanaume/Mwanamke

*Matumizi

And actually basing on this, Bibi = Bi, is supposed to be used in a title… Mr and Mrs = Bwana na Bi. - Not necessarily signifying married couple
Mke na Mume on the other hand should be the common word(s) to signify someone is married.
Ama namna gani?

Asante.

Nakubaliana na wewe.

Personally I prefer saying Mke wa/Bwana ya when talking about married couples and nyanya for grandma.

Bibi short circuits my brain.

Umbwa ghassia takataka malaya

Saa hii no one cares.Tutakula tu yote when we get to that bridge

the Bi in Bwana na bi Joash mwangi (kwa mfano) ni ufupi wa Bibiye

Mimi na kiswahili ni kama Maasai na Suruali :D:D

Kumamako