Masichana zetu

If a Kenyan girl texts “how are you?” Just reply “I’m fine.” Let those who have money add “and you?” Wise a mosa day

2 threads in 3secs

Wewe lazima ulikua bell ringer kwa shule yenu.

Wewe lazima ulikuwa wa kwanza kwa line ya sembe kwa shule yenu…

Wewe lazima ulikua unakumbusha mwalimu mpewe homework

Wewe lazima ulikuwa hule mjuaji wa saa zote kuinua mkono na kusema "Teacher! Teacher! Me! "

:D:D:D:D:D finaly boyshaud amejua land mines

wewe lazima ulikua ndio unakumbusha mode ati hajawepea homework

Wewe lazima ulikuwa copy cat juu ata hii ni comment ya @Shiroe umecopy.

Na muko na tumaneno

we mmemaliza homewor?

Wewe lazima ulikua unakula chakula cha wenzako wakienda break time

Na ukiletewa effidence?:D:D:D…

:eek::D:D umekuwa head boy ama?

Wewe lazima ulikuwa unaandika Tabia mbaya kwa wall za toilet.

Haiyaaaa oneni aka

Wewe lazima nilikuchezesha cha mama na baba

@Mosa deh! You win!:smiley:

:D:D:D pewa alvaro upunguze bangi

Thread derailed