Masaibu ya plot 10

Kuna hii plot nilihamia last month (Am not one of the Mbirrioneas,am a tenant) ,we happen to be two of us sharing one compound. Before, i was living alone in my own compound. Jirani hataki niishi na amani, its a three bedroomed na inaishi watu kama saba. Music is the order of the day,kuna kajamaa rasta and he’s always smelling Fangi. I went, knocked that house and complained to the wife who promised to lower the sound, lakini wapi. I’ve complained to the Landlord and he told me he’ll talk to the owner of the house,who comes on weekends.
Juzi I asked the landlord to send me that Jiranis number ,so that we can talk omundu kumundo. The nigga told me, ata amesikia nilisomea bibi yake:D forgot to tell you,she’s paged, the dude is called Maina from Nyeri (You already know what i mean).
Nikamshow akitokea job,anipigie we talk it out kama wanaume.Alikuja and he’s not picking my calls na bado mziki nile ile.
To cut story short, nimepigia landlord akasema anakuja kesho,we solve this prblm.
Wana kijiji, if this persist, solution gani poa. Kunishow nihame tena, hiyo pesa sina.

Jirani hapangwingwi

Reminds me when I was a fresh peasant after getting my first job. I had a creaking bed and a horny girlfriend. Anyway, I will do a hekaya someday

Why not walk over and knock on the door and see what happens?

I’ve done that two times now.

Jenga kwako

Mimi kabla nihamie place mpya, nauliza kama kuna college students na watu wa subaru.

Hapo unalipa rent bana,hama.Kama hujalipa rent usilipe.Show landlord umeamua kukalia deposit coz of noise.Kama landlord ako serious about kukuwa na tenants he will take action about the noise.If he doesn’t jua tu you are on your own.

Go rent speaker za crusade uzichapishe Rock music 4 2 days watatii

Kuna wakisii @Eng’iti tuligang up wakafukuzwa after 2 month kukomboa kwa ploti. Kazi ilikuwa kutomba mabibi za wenyewe mabwana wakilabour kwa patel.

Ghasia usihame invest in good sound system. Huyo mwanamke akizaa it will be payback. Mtoi akilala ndio unafungua sound system. Una make sure uko na flash disk ina cheza ngoma 3 days nonstop.

Kumbe wewe wechez huwa na akili?

Dawa ya moto ni moto, weka yako full then uende shamakoko weekend. Utapigiwa simu ukuje uzime

Wechez ni nani humbwer hii. Hio takataka ni ya wapi?

Ama umeambiwa omba speaker za kanisa the uweke hard rock repeat playlist ngoma tatu, enda ukunywe busaa urudi after two days utuletee results

This is gold. Jamaa atakuja kuomba msamaha.

Ama akomboe watu wa church wakuom kwake kesha for the weekend

Nyimbo za wakisii ndio fiti…

Mna ujinga mobest…hahaha…general rule…wewe ni nyani mpya…new inmates don’t make rulez…huwezi kuhamia nje ya brothel uanzie kucomplain kuna traffic ya wateja

Very wise counsel