Wakenya huwa watu mafala tuu sana!! They did nt know who Mayweather was b4 this match lakini unaona maumbwa FB zina andika My bet is on Mayweather!! Kwanza watu wa Muchatha ambao wali get net juzi ndio wanapanua mdomo ovyo ovyo…ati mayweather ata chapa Manny Pacquiao …they do nt even know how long this match has been on hold for kedo 5 yrs…
This reminds me of when the rapper 2chainz visited Kenya. F*ckers dont even know who 2chainz was/is lakini juu ya peer pressure unapata mafala wakisema wanaenda show ya 2chainz…Ask then to recite one song ya 2chainz if they are really his fans na watu hawajui hata moja…Foolishness ya wakenya
why are people talking about this may weather and the way april weather was harsh with heavy rains, kwani may weather mvua itakuwa zaidi ama? daktari luther saidia hapa?
jus blasted some one who happends to be a Ktalker on Facebook, fala writes on his wall ati just 2 hrs to the fight. Yaani nigga juu ameskia wakisema fight ni 12 midnight anafikiri pia ni mid night kenyan time…SMH- BTW many people think the fight inastart 12 midnight Kenyan time na sasa wako ulevini wakingoja. I wud advice them to hit the sack early enuff so that they catch the fight which starts at 6.am Kenyan time. I know many will miss this Fight. am off to bed…staki kuhata hii match…u can also watch it online btw…