Mahindi yangu iko mzuri

cc @sani

14 Likes

Halafu idlers wanakwambia uende madmano badala ya kunyunyizia maji

4 Likes

Rain comes from heaven. So tunaandamana as The Almighty ananyunyizia mahindi maji.

8 Likes

i also want to venture into farming hapa molo

4 Likes

Niitie kashamba hapo

2 Likes

CSI kazi kwenyu

1 Like

Bado ku flower and rains are diminishing. Kita kuramba. Bure kabisa Ngombe ici

2 Likes

So tutie bidii JSKS and the gang wakule kwa tax ? Tunafanya KAZI lakini hatutakaliwa.unaskia kijana ? Israelis ni mafala wakiandamana ? Franch people ni mafala wakiandamana? Respect our Constitutional right

3 Likes

Nabil amefanya kazi buana. Matunda ya subsidies.
Yangu yatakua tayari for roasting in two weeks time.




3 Likes

Safi sana. Nilipanda miti ya avocado two months ago. Nilienda kucheki nikapata zimekauka. Na vile nilikuwa nimeambia ma Boyz Fulani hizo ma areas wawe Wana Zi water daily. Farming inanikalia fun kiplani

2 Likes

Huwa POA Sana. Hasaa nyakati hizi za chemical contamination

2 Likes

kazi ni kazi.

1 Like


Yangu sasa nakausha. Then nipande mahindi Tena for the short rains

7 Likes

Are you from Kisumo Omera?

1 Like

Mimi ni mtu wa baba

5 Likes

city boy ulipanda wapi

1 Like

Kwa matatu zenye amedicommission pale kawangware

With all posibilities indicating an impending elnino that starts from September, hii mahindi yako itavunwa kweli?

1 Like

Kazi safi sana wanakijiji.

2 Likes

Sasa utashukisha bei ya unga?

1 Like