Mimi iko na bahati kidogo. Huku ocha kwetu nmepata hii fombe ya Tabitha na inauzwa peni mbili nkasema wazee wapewe na Waite marafiki wao pia
[ATTACH=full]253669[/ATTACH]
Jeshi tingenu ( ma yout hawana furaha) like Kabogo says, ma yout wanaumiswa sana. Ukifika ocha its sad kucheki wameuma njaro tu kwa stage. yani b4 ufike unasunda mafinje mob all pockets za kuwachia za macho. Kuenda ocha siku hizi lazima unaingia ki sniper unannounced coz news travels fast na usipochunga ni hao hao watakuitania.
so how did you help after buying them alcohol?.. you parted with your money to buy guys alcohol… parted with it just too fast… faster than a fool does with his