Hi,
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni…eti kuongeza makalio kwa wadada ni urembo.
Yani ukipita kwa jiji la Dar na kwengineko wadada wote wana makalio ya haja.
Siku hizi wala wanaume hawageuki tena nyuma maana wadada karibia wote wana nundu (kalio)
Wale wadada waliopigwa pasi sikuhizi hamna tena wote wananundu.
Doncute
Huo utafiti umeufanyia Dar tu? huku kwetu mkoani tulio na flat screen tupo kibao tumejikubali.
Kumbe wewe wa mkoa …pita hiviii
mumu
4
Tupo tuliodondoka bafuni kwa kuseleleka na maisha yananoga tuu…
Kuwaangalia kimya kimya ruksa… ukikohoa tu unaenda kuiongezea serikali pato…
Cc: @Mahondaw
Usichukulie Poa, uzuri wa NYUMBA choo
Kwanini nipite hiviii?.. au Darisalamu ni taifa teule!! Eeh
Watu wa Dar es salaam si wana mungu wao!!
Na wanaume nao hawako nyuma wanaenda na fashion ya kuongeza mipini.
Kalio ni fahari ya Macho.
kev
18
[MEDIA=facebook]id=188722038492974;type=video;user=whatdidijust[/MEDIA]
[MEDIA=facebook]225300701614797[/MEDIA]