[FONT=courier new]1. Mkemia Komwe.
2. Aliyetoa Kibali Kampuni ya Mabasi ya Mwendokasi yawe pale Jangwani.
3. Aliyetoa ’ amri ’ mitandao ya Kijamii ifungwe na itungiwe Sheria Kali hadi JamiiForums sasa haipo tena hewani na Wadau wake tunataabika tu sasa hadi huku ’ Ukimbizini ’ kwa Wakenya.[/FONT]
[FONT=courier new]Na Wewe karibu umtaje Mtu wako ambaye una hamu upime akili zake kwa Rula kama Samaki wa Luhaga Mpina kwani nahisi kuna wengine ’ akili ’ zao hata nusu Sentimita hazitozidi ama hazizidi kabisa.[/FONT]
[FONT=courier new]Wote uliowataja hapo nawafahamu Mkuu / Mwanakijiji ila huyo sijui ’ Jiwe ’ simfahamu kabisa na tuanzie hapo Kwanza. Ni nani huyo labda?[/FONT]
[FONT=courier new]Usinitafutie ’ matatizo ’ tafadhali bado nahitaji kuishi muda mrefu ili nizidi kuzifurahia ’ Mbunye ’ mbalimbali za Kitanzania na za Afrika ya Mashariki na Kati, Afrika na Duniani kwa ujumla sawa?[/FONT]