[ATTACH=full]236277[/ATTACH]
Gandani is the name of a person. Mwagandani is the same as [Omwana] Wa Gandani.
Acheni ujinga.
Wacha ujuaji ya peni tatu…
mwashetani ni mwana wa shaitan?
Makaburi Ni mwana wa kaburi???
Hiyo ilikuwa nickname. Alikuwa ana destroy Makaburi ya zamani akisema yamefanywa kama altars za miungu mingine… or something of that sort.
His real name was Abubakar Sharrif.
Haikosei ako na watoto wanajaza team A na team B respectively
Hivo ndio unataka tujue but kwetu tunajua huyo jamaa humwaga ndani
Sema vile wewe humwagiwa ndani
Upus. High grade upus
Na Mwaboza ni mwana wa banghi
@Mimi Huwa Namwaga Ndanii come see your name sake
Mwakazi
Enyuuma wewe
Kumbaff! Mwagandani=pour inside
In that case, the talker should change his name to @ Mimina mwagandani
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D