Mshahara imeingia hivi hivi, six figures if you know what i mean ;)…and on that note, nani ako na number ya huyu socialite anajiita huddah, nimeskia yeye ndio ananyambisha wanaume.Nataka ajue mimi ndio jogoo.
Acha moto baba… Though Your Dreams are Valid.
Tig,gnarbly etc amekam ivi ivi
Kweli, hata Kshs 30, 165.3 net ni six figure…
wacheni kuhate, mnajua madada zenu hawawesmake…don’t hate the player, hate the game.
Huyo ni nani? hapana tambua
mtu ana earn 6 figures huficha payslip hata hiyo ni mambo hataji, lakini mwenye ku daydream hufantasize venye anaweza earn pesa kama hiyo then mjinga anatafuta huddah
Just the way you talk, since your cover was blown juu ya Ile sofa umeona you reinvent yourself. Btw @admin where do old handles go when they die?
So what’s your point? unataka nikugawie pesa au nini?
kijana utawesana kweli
Utaona huddah na slippers?
Aiiiii mimi hizo pesa za laana na haramu siwezi karibia, gawia mapoko kule mashambani unakotoka
haramu na laana gani, hii ni bidii yangu boss.Usije ukanitusi kama huezi ingiza kiasi kama changu kaka…
@Gnabry enda ukalale
tabia zingine ni kama laana haziishangi huyu jama krost alikuwa na handles kama mia…hapa pia ako na handle mpya kila siku
Six figure gani na vile ulikuwa umesukuma mwezi. A moneid person cant tell the first week from the fourth week.
[ATTACH=full]6515[/ATTACH] [ATTACH=full]6516[/ATTACH]
Upuss on a cold monday morning this Tuesday. Proudly brought to you by TIG.