Mimi ni freelancer developer from Tanzania, recently nilipata deal nikalifanya, client akalipa via Paypal… issue ikaja kutoa… nilivyohangaika… hadi natamani kuhama Tanzania kuja Kenya coz ni hell kwa sisi Freelancer devs… hadi narudisha tena kwa aliyetuma atume via bank deposit which client mwenyewe alisema ni process ndefu forms nyingi atatakiwa azijaze also time consuming…
Viongozi always wanacomplain walioelimika wanahama nchini kwao na hivyo hawatumikii nchi yao, so taxes na vingine vingi kwa huyo mtu husika vinakuwa vimeenda nchi nyingine. so kwa case kama hii… mtu akihama still wataendelea kulalamika why walioelimika wanahama nchini kwao…
Nikajaribu pia kufungua paypal as if am kenyan, ikafungua account okay bila tatizo… sababu niliona kenya kuna uwezekano wa kutoa paypal kuja Mpesa(safaricom) na nikawa delighted…
Account niliyoifungua as Kenyan(kwa kuchangua country Kenya) nikawa naitumia kwenye site yangu ninayouza React-Native templates(mobile apps templates) clients wakawa wananunua coz price price yake sio kubwa sana some goes to $50, some to $100.
Pesa ikawa inaingia paypal bila shida na nikajaribu kulipia online ikafanya vizuri bila shida… Nikadhani nimeshinda!!!.
nikapata kazi nyingine nikaifanya, client akataka nimtumie paypal money request, nikaituma kupitia hiyo akaount niliyoifungua as if am kenyan, Paypal wakaituma hiyo request kwa client wangu bila any alert, client akaipata request na akadeposit hiyo $1000 to my kenyan paypal account.
Suddenly, Paypal wakaisuspend my account… they need verification as am kenyan… What the hell… nikajiuliza, hivi even paypal wana loophole ya namna hii… nadhani kama account ina missing information na itakuwa suspended endapo itakuwa deposited kuanzia kiasi flani, why not letting mtu anayetuma hiyo request ajue kabisa account itakuwa suspended sababu kiasi kilichoombwa kimevuka non-verified account limits… wakaruhusu nikatuma $1000 request via their request form na client akalipa kupitia hiyo hiyo form then wakasuspend my account… ningelijua wakati natuma payment request form nisingeendelea sababu nafahamu sina details za kuverify account…
Sikujua kuna kenyantalk… untill today nilivyokuwa natafuta posts za namna ya kuhamia kenya… maybe someone angenisaidia then ningempa kiasi by getting those IDs and nikaverify…
Kazi nilishamtumia client… as soon paypal walivyosema wameverify deposit… and nikadhani nitumie same option as mwanzo kumwambia client aombe refund then niirudishe then atume via bank…
yaliyotokea ni mengine…
For real, Tanzania haitufai Freelancer tunaotegemea online payment na tunaofanya kazi na watu wa nje wanaotegemea kufanya malipo kupitia paypal/stripe etc, coz hawa paypal/stripe etc wanasema country laws haziruhusu wao kufanya kazi zao nchini… and why our leaders wanashindwa kabisa kurekebisha sheria ili hawa guys wafanye kazi hapa tanzania, even mmoja tu angeruhusiwa ili wananchi wake tupate maendeleo…
Not only paypal, even stripe and many others hazifanyi Tanzania but Kenya zipo…
Kenya mpo juu and you will always be the Winner!!!..