Watu wa mbeya mtawajua tu.
Tutake lazi
ndo ujinga gani umeanzisha apa huna kazi ya kufanya?
Hahaha
bora umekuja na id yako ile ingine nilikua nakusahau
I
Ila picha zinafanana
me siangalii picha bhana. nmekariri jina
huyu sio mshana jr, HUYU SIO MSHANA JR, harufu ya wizi wa ID
Kidote chakula ya mukulu, ila wanawake wavumilivu aisee something u can’t imagine kabsa eti stone ana.tomba Kidote kweli?
Ndo nini na wewe?
Hahah!! Villager Elder ulitaka kuona nini?
Aisee!
:D:D:D:Dmadini
Hahah!! Jamani pole mwana kazingua
kazingua kweli uyo nyau
:p:p
Najiuliza hawa watu walijuaje hya mambo ya wakubwa jamani.
Sijui nani kavujisha . Aaaagh
Bongo bana ,tunapoteza sana muda
Sina nilichoelewa