Hahaha after shutdown of KIM’S Nuclear reactor at PYONGYANG Now the Kenyans swallows heavy metals like Lead and Hg so what remains is only Uranium. Sasa mabomu ya atomiki yataanza kutokea Kenya hapo.
Heko Kenya kwa maendeleo makubwa mtuambie tu lini tunaanza kujaribu hayo mabomu ya atomic direct from Nyayo au Kasarani.
Jiwe ni kiongozi anaeweza kuwa bora Afrika, mradi tu apunguze udikteta. Hilo tu ndilo linalomharibia. Kazi aliyoifanya pale mwanzoni kupunguza magendo na ulaji rushwa ilikuwa bora Zaidi… Lakini kadri anavyozidi kuvuka mipaka ndivyo sifa inavyozidi kumomonyoka…