Baba ya @Aba leo ameniamulia.
Jana mi niliamka poa nikaprepare kwenda job.
This man is around my late dad’s age. Asubuhi akaniomba chai. Nikamwambia nimechelewa na job sitampikia chai.
Sasa nilitoka job kurudi kwa nyumba akakuja kunirudishia my rent and ati am supposed to vacate leo.
Sijawahi kosana na yeye, na hatuna mazoeano na yeye .
He has gone to the extent ya kucall mwenye nyumba akimshow aty nihame
How do you people deal with this situations🤔
Huyu ataniona bado nampangia. Heshima imekufa
2 Likes
Real2
July 8, 2023, 7:35am
2
This reads like you are female sharing a house with your inlaw where you split the rent
Jimit
July 8, 2023, 7:56am
3
You gotta be a mega peasanr
1 Like
Inakaa nyinyi mmeshare kikojozi na kikunyizi. Sasa mambo ya watu wamenyambiana hatuyaingilii kabisa, mtarudiana si kitambo
2 Likes
Real2
July 8, 2023, 8:05am
6
Mikymas:
Caretaker
If you are a caretaker there, why in the hell would another man ask you to cook tea for him?
2 Likes
Mikymas:
… my late dad’s age. Asubuhi akaniomba chai. Nikamwambia nimechelewa na job sitampikia chai.Sasa nilitoka job kurudi kwa nyumba akakuja kunirudishia my rent and ati am supposed to vacate leo.Sijawahi kosana na yeye, na hatuna mazoeano na yeye .He has gone to the extent ya kucall mwenye nyumba akimshow aty nihameHow do you people deal with this situations🤔Huyu ataniona bado nampangia. Heshima imekufa
I don’t understand this post
2 Likes
Chukua rent back. Mwambie hujapata nyumba and in any case sasa unakalia deposit as you house hunt
Mikymas:
HE’S THE CARETAKER
Umemzoesha mkia Leo akapata uko na haraka na hakuna time ya romance.
Pole kaka, but until ujenge kwako na uwache ushoga everyone will be treating you like the bish you are.
1 Like
Inakuwaje mnazoeana namna hiyo na caretaker of all people? Ama labda kuna deal zingine mko nazo husemi?
2 Likes
Hatujazoeana na hii ghasia. Naenda tribunal monday na recording ya vitisho zake. Am About to get six months rent free in this crib
1 Like