Kenyan youtuber I am Marwa and Brother beating their father ConDad for routinely beating their youtuber mother Con Dad.
Even cows are disgusted. Lakini 38mins watch hapana
Tulisema hakuna kucrick kama sio clit.
Wololo yaye. I believe that is their step father.
Sasa huyo mzee akitoa marwa hio jicho moja amebaki nayo..
The ideal solution situation kama hii ni kutoa madhee kwa hiyo nyumba
kama ao ni YouTubers tutajuaje sio content?
alaa

Yeah that machete man-Mr. ondari, is his step father but the other one clobbering him is his own biological son.
Joluo degeneracy. cc busaa man @Maize_Combuster
Thereâs an Italian that used to collaborate with them a while back who said that those kids despise their step father ile mbaya. He witnessed episodes wakimuonyesha madharau. Another reason to avoid being a step father.
Dim eye problems
Mbona hamutairi na hamujewacha tabia ya kuridhi mali ya marehemu in 2026 surely
Those are Kisii/Kuria peeps, none of them is Luo.
Its always been advised on this forum to avoid marrying single mothers because one day the single mother kids will beat you up.
These domestic vayolense issues ni byad. Watu waache. Growing up, there was a similar case in the neighbourhood. Kuna mzee alikuwa amezoea kuchapa bibi. Kijana hakuchapa baba yake lakini alipimana na yeye height mzee akashukisha hasira haraka. Na yeye ilibidi amehama home mapema.
Another case, mzee quantity surveyor mzima alikuwa anakimbiza bibi nje akimchapa. Jamaa alikuwa anatuudhi akipark gari zake kubwa kubwa kwa kiwanja yetu ya futaa, so we hated him anyways. Na watoi wake walikuwa wanaaibika, usitake kujua. Jamaa alimaintain hiyo tabia into his sixties, wife akapata relief only vile mzae alidedi. Very unfortunate.