Jaman nahitaji kampany kwa ajili ya kwenda club leo usiku kiwanja cha royal Dom yeyote anayehitaji kampany PM tukatoe stress za kufungiwa Jamiforum.
Sijui nikuPM:D
Nipm tukapunguze arosto za Jf hii ningepost Jf nahisi tayar ningeshapata kampany huu uzwazwa kabisa
Natumani ningekuwepo Dodoma leo. Tatizo @Mshana Jr
Duh