Kwa heshima na taadhima wale watu wa kukesha naomba tuendeleze kukesha huku uhamishoni Kenya.
Kenya oyeeee.
Naomba mtuletee cc mahondaw na cc smart
Oyee
Sas ajamani tupo wawili tu. Si bora uchukue uber uje geto tuongee face to face
Wacha nicome
U cum? Au ukuje?
Wacha nicome
Wacha nicome
Nikuje
Bora ivuga umekuja jamaniii nilikuwa nawaza ntakupata wapiiii
Uzi wa usiku nao huoo
U
Ungenambia nikusaidie kumpata
unataka unifanyeje ili nijiandae.
Mimi naishi kawangare. Count ya kakamega
Kwani anataka kunipea nini?
Anataka kukupea ile wanaumee wanaombaga
Tutanasiana.
Huku kenya hayo mambo hayapo
Hahahahahaa.
Ile venye unajua nataka sema
Hahahahah jamaniii nenda katembelee nyuzi za wakenya kiswahili chao jamani
MMU mpaka weekend iishe itakuwa imehamia yote huku.