Za nini zote hizo…??? ni kukosa kujiamini…!!!
Umefunga pm
Nimekufungulia wewe apo
Nakuja ngoja nijipange na swaga
mi nlikua nazo 4 mbili zikapigwa Ban milele baada ya mods kushtukia ni mm
Hahahahaha… mimi ndrukiii tehteh.
Mimi nilikuwa nayo hii hii ninayoitumia sasa, ambayo pia nimejisajili Mwanahalisi Forums, Bongo Forums na forums zingine… No need of any other ID…
Nilikua nazo 5
!
!
Tatu Mkuu. Moja Ilikuwa Ya Dharura, Moja Ina User Name Hii Na Nyingine Ilikuwa Kwa Ajili Ya Kuanzisha Mada Sensitive Sana
nipooo