Back home guys waachieni Forum yao hawa wakora.
Yah imerudi kwa kweli
Pm zinakubali kuchat ila majukwaa bado closed
Jf Iko juu
Jf imerudi oyoooooooooooo
ila sioni pakuwekea post.
kweli Haiwezekani kutuma post…
Mmmmm! Una uhakika na usalama wa huko nyumbani? Askari wote wamerudi kambini? Isije kuwa ndiyo KUTUKANA MAMBA!!
Pigs keleleeeeeeeee! Afadhali kwa kuwa hakuna kupost ila tunaweza kujisomea zile nondo zilizokuwemo mule
Nalog off
haaaha hv hii kenyatalk kumbe ndio iko vilee duuh bora JF yetu imerudi…
mpakaa sasa sijafaham lipi linaendeleaa atoe ufafanuzi kipi kimejili
Mume wa kidoti karuhusu?
Nendeni mkadakwe,
siamini, siamini siamini… SIAMINI, SIAMINI, SIAMINI SIAMINI
Wakuu tulieni kwanza huko huko Kakuma na Mboloni refugee camps wakati ma-spy wakifanya uchunguzi kama kuna usalama. Inaonekana hali bado tete maana mnatakiwa mkabadili zile IDs zenu na mtumie e-mail halisi! Mwafaàaaaaa!!
Troll ni wwe wa Lumumba! Siamini kauli yako
Wacha ujinga wako wewe, hawa jamaa siyo wa kubeza hata kidogo! Mimi nawaomba wazungumze na uongozi wa JF ili uwe mtandao mkubwa kabisa wanaweza kugawana hisa forum ikawa ya Afrika Mashariki! SHIZONGE NI TAAHIRA! JIWE NI TAAHIRA!!
Nitabaki hapaa kwanza
Nami nitabaki hapa kusikilizia. Au nitakwenda na ID mpya ya unafiki wa kutii mamlaka ya JIWE
Nami hali ya hewa ya huku, nimeanza kuikubali. Ila…uhuru umekuwa mkubwa, ambao hatukuuzoea kule kwetu. Kinyume chake, kule kwetu hii heading ya uzi huu, mleta uzi angesha kula BAN!
Asanten kt kwa kutuhifadhi kwa mda,saiz tunarudi nyumbani,Mola akipenda tutaonana!byeee