Saw some claim ati kplc charges half price after 10pm, kweli ama rongo ?
Majuu ndio kuna hizo tariffs
Sijui
Wacha pia mimi niulize swali.
Nasikia wakiona unakaa mdosi (washing machine, skyworth etc)
wanakuongezea bill yako ndio ufanye subsidization ya mtu wa nyumba ya matope na bulb moja
Last mile is not breaking even as expected, so wanaongeza levy ndio kila mtu alipe hiyo expense ilitumika kwa bulb moja
Yes kuna tarrif kaa hiyo but only for large power customers. Wasee kaa chandarana or mumias sugar who bill kaa 10 million monthly yaani like 500k units
They should consider introducing it to domestic users too
Nilienda Norway nikaona electricity is cheaper from 11pm to 5am. At that time they had what you call ‘time of use tariff’.
Domestic users watu wa less than 30 units per month wako na tariff yao.
Murarandia ndio unaita Norway, ghassia hii.
Niaje ango Uwesmakende?
